Vyama vinavyounda UKAWA vyakubaliana Vigezo vitakavyotumiwa Kuachiana kugombea Udiwani

code         No comments

UKAWA inaudwa na vyama vya NLD, NCCR-Mageuzi , CUF na CHADEMA
Viongozi wakuu wa vyama vinavyounda UKAWA walikubaliana tangu mwaka 2014 kua katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015 UKAWA itasimamisha Mgombea mmoja katika kila ngazi ya uchaguzi kuanzia Raisi wa Jamhuri ya Muungano, Raisi wa Zanzibar, MBunge, Mwakilishi, na Diwani katiak maeneo yote ya nchi




Ifuatayo ni sehemu ya nyaraka waliyoitoa UKAWA ikionesha vigezo vitakavyotumiwa na umoja huo kugawana kata katika uchaguzi mkuu






Published by code

Nulla sagittis convallis arcu. Sed sed nunc. Curabitur consequat. Quisque metus enim venenatis fermentum mollis. Duis vulputate elit in elit. Si vous n'avez pas eu la chance de prendre dans tous.
Follow us Google+.

0 comments:

© 2014 punguzo . Designed by Bloggertheme9
Powered by Blogger.