Mgombea wa Chama Cha Wakulima Achukua Fomu ya Uraisi

code         No comments

Kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Madiwani, Wabunge na  Raisi  2015


Afisa uchaguzi mwandamizi Deogratus Nsawagwanko akimkabizi mgombea uraisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutpitia chama cha wakulima(AFP) Mhe. Omari Mohamed Sombi leo katifa Ofisi za Tume ya Uchaguzi Dar es salaam
Mhe. Sombi akisimsikiliza Afisa wa Tume ya Uchaguzi




Mgombea Uraisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Omari Mohamed Sombi akionesha fomu ya kuwania nafasi hiyo kwa waandishi wa habari mara  baada ya kutoka kuchukua fomu hiyo katika  ofisi za Tume ya Taifa ya Uchaguzi Dar es salaam

Published by code

Nulla sagittis convallis arcu. Sed sed nunc. Curabitur consequat. Quisque metus enim venenatis fermentum mollis. Duis vulputate elit in elit. Si vous n'avez pas eu la chance de prendre dans tous.
Follow us Google+.

0 comments:

© 2014 punguzo . Designed by Bloggertheme9
Powered by Blogger.