Aliyewahi kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani Lawrence Masha Ajiunga na CHADEMA

code         No comments

Aliyewahi kuwa mbunge wa jimbo la Nyamagana (2005-2010) jijini Mwanza
kwa tiketi cha Chama cha Mapinduzi(CCM) Lawrence Masha leo hii amejiunga na Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA jijini Arusha wakati wa kumtabulisha mgombea wa UKAWA na CHADEMA mheshimiwa Edward Lowassa.

Masha amewahi kushika nyadhifa mabalimbali katika Serikali ya Chama cha Mapinduzi kabla ya kushindwa kutetea kiti chake cha ubunge katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2015 ambapo alishindwa na mgombea kutoka CHADEMA


Nyadhifa alizowahi kushika nyakati tofauti tofauti:-
·         Naibu waziri wa Wizara Nishati na Madini
·         Naibu Waziri wa wizara ya Mambo ya Ndani
·         Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani


Published by code

Nulla sagittis convallis arcu. Sed sed nunc. Curabitur consequat. Quisque metus enim venenatis fermentum mollis. Duis vulputate elit in elit. Si vous n'avez pas eu la chance de prendre dans tous.
Follow us Google+.

0 comments:

© 2014 punguzo . Designed by Bloggertheme9
Powered by Blogger.