Mwenyekiti wa CCM Mhe.Jakaya Mrisho Kikwete amefungua rasmi vikao vya Baraza la vijana wa CCM
Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Mjumbe wa NEC Jerry Slaa
Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia kwenye Baraza la Vijana wa CCM
Wageni waalikwa kutoka nje ya Nchi (Diaspora)
Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk.John Pombe Magufuli akiteta jambo na Dk. Emmanuel Nchimbi.
Mgombea Urais kwa tiketi ya |CCM Dk. John Pombe Magufuli akizungumza na wajumbe wa Baraza la Vijana wa CCM na kuwaambia kuwa atashirikiana nao vizuri.
Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana Ndugu Sixtus Mapunda akihutubia Baraza la Umoja wa Vijana wa CCM
Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa kwenye picha ya pamoja na wajumbe wa NEC Vijana mara baada ya kufungua na kumaliza kuhutubia Baraza la Vijana wa CCM.
0 comments: