Chelsea ilishuhudia mchezaji wake Thibaut Courtois akitolewa nje kwa kadi nyekudu baada ya kumchezea faulo Gomis
Oscar aliipatia Chelsea goli la kwanza la Kuongoza kabla ya Ayew kuisawazishia timu yake
![]() |
| Ayew akiipatia Swansea goli la kwanza la kusawazisha |
Federico Fernandez alishinda goli la pili kwa Chelsea baada ya kumgongesha Willians beki wa Swansea
![]() |
| Diego Costa akisikitika baada ya kukosa goli |
Hata hivyo Gomis aliisawazishia Swansea goli la pili kupelekea sare ya 2-2
Chelsea ilicheza pungufu kwa Zaidi ya saa moja na nusu lakini Swansea hawakuweza kutumia nafasi hiyo vizuri




0 comments: