Chelsea ya cheza pungufu ikilazimisha sare 2-2 dhidi ya Swansea

code         No comments



Chelsea ilishuhudia mchezaji wake Thibaut Courtois  akitolewa  nje kwa kadi nyekudu baada ya kumchezea faulo Gomis



Oscar aliipatia Chelsea goli la kwanza la Kuongoza  kabla ya Ayew kuisawazishia timu yake
Ayew akiipatia Swansea goli la kwanza la kusawazisha

Federico Fernandez alishinda goli la pili kwa Chelsea baada ya kumgongesha Willians beki wa Swansea
Diego Costa akisikitika baada ya kukosa goli
Hata hivyo Gomis aliisawazishia Swansea goli la pili kupelekea sare ya 2-2
Chelsea ilicheza pungufu kwa Zaidi ya saa moja na nusu lakini Swansea hawakuweza kutumia nafasi hiyo vizuri


Gomisi akiipatia Swansea goli la pili la kusawazisha kwa njia ya penati
HiHata hivyo Swansea imefanikiwa kujichikulia point 1 ya muhimu ambayo katika historia inaonesha mara ya mwisho Swansea kuchukua pointi ikiwa Darajani ni mwaka 1980

JE CHELSEA ITAWEZA KUTETEA UBIGWA WAKE? TOA MAONI YAKO

Published by code

Nulla sagittis convallis arcu. Sed sed nunc. Curabitur consequat. Quisque metus enim venenatis fermentum mollis. Duis vulputate elit in elit. Si vous n'avez pas eu la chance de prendre dans tous.
Follow us Google+.

0 comments:

© 2014 punguzo . Designed by Bloggertheme9
Powered by Blogger.