Wakati Lowassa anatamba Dar Magufuli yeye Anapeta Kwa Wanagesi Mtwara

code         No comments


Vuguvugu la Uchaguzi linazidi kuongezeka hasa tunapozidi kukaribia siku za kuanza kampeni.za madiwani ,wabunge na Uraisi.

Kwa mujibu wa ratiba ya uchaguzi kutoka Tume ya Taifa ya Uchaguzi sasa ni mda muaafaka wa kuchukua fomu za kuwania nafai ya Uraisi
















UsipitweRatiba ya Uchaguzi Mkuu 2015

 Tumeshuhudia waziri mkuu mstaafu na  mbunge wa Monduli mheshimiwa Edward Lowasa akisindikiwa na maelfu ya watanzania katika jiji la Dar es salaam. kwenda kuchukua fomu ya kuwania nafasi ya urahisi katika uchaguzi utakao fanyika mwezi wa kumi mwaka huu 2015

Mh. Edward Lowassa  akikabidhiwa Fomu ya kuwania Uraisi



Idadi hiyo ya watu imeandika historia mpya katika siasa za Tanzani .

Wakati hayo yote yanatokea Mheshimiwa John Pombe Magufuli ambaye nae atawania nafasi ya uraisi kupitia chama cha mapinduzi CMM  hakua nyuma.

Magufuli ambaye ni waziri wa Ujenzi na Miundombinu akiambatana na Kikwete Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania walizindua miradi mbali mbali ya maendeleo katika mkoa wa Mtwara

Katika ziara hiyo walizindua kivuko cha MV MFANIKIO kilichogharimu shilingi 3.3 bilioni.
pia walizindua barabara ya kilomita 60 kutoka Ndungu-Somanga.

CCM MTWARA WAMWAKIKISHIA USHINDI WA URAISI

Mh. Magufuli ambaye anafahamika kwa utendaji kazi wake makini amehakikishiwa kuungwa mkono na wanagesi katika mbio za kuwania Uraisi

Baadhi ya wanachama wa CCM Mtwara


Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akisalimiana na Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mtwara


Published by code

Nulla sagittis convallis arcu. Sed sed nunc. Curabitur consequat. Quisque metus enim venenatis fermentum mollis. Duis vulputate elit in elit. Si vous n'avez pas eu la chance de prendre dans tous.
Follow us Google+.

0 comments:

© 2014 punguzo . Designed by Bloggertheme9
Powered by Blogger.