Lowassa kuchukua form ya Urais NEC jumatatu tarehe 10

code         No comments

Umoja wa Katiba ya Wananchi UKAWA unapenda kuwatangazia watanzania wote kuwa Tarehe 10/8/2015 Mgombe urais kupitia CHADEMA na UKAWA
Edward Lowassa Mgombea wa Uraisi Ukawa kupitia tiketi ya CHADEMA



Edward Lowassa na mgombea mwenza Juma Haji Duni watachukua fomu ya kugombea urais kwenye ofisi ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi,Makutano yataanza Makao makuu ya CUF Ilala saa 3 asubuhi kuelekea Tume ya Taifa ya Uchaguzi na kumalizia Makao Makuu ya CHADEMA kinondoni.

Akiongea na waandishi wa habari kwa kuwawakilisha makatibu wakuu wa vyama vinavyounda UKAWA (katikati) ni Salum Mwalim aliyekaimu nafasi ya katibu mkuu CHADEMA (kulia kwake)Frorian R Mbeo mwakilishi wa katibu Mkuu wa NCCR (kushoto kwake)Tozzi Matwanga katibu mkuu NLD.

Juma Haji Duni mgombea mwenza UKAWA
Tunawaoba watanzania wapenda mabadiliko kujitokeza kwa wingi.

Related Posts

code Published by code

Nulla sagittis convallis arcu. Sed sed nunc. Curabitur consequat. Quisque metus enim venenatis fermentum mollis. Duis vulputate elit in elit. Si vous n'avez pas eu la chance de prendre dans tous.
Follow us Google+.

0 comments:

© 2014 punguzo . Designed by Bloggertheme9
Powered by Blogger.