Hakika ilikua ni meche ya kusisimua wakati mashetani wekundi wakijichukulia pointi tatu zao za kwanza dhidi ya Spurs kwa ushind wa 1-0
Mancherster United iliyokua nyumbani katika uwanja wa Old Traford ili lipata goli hilo mnamo dakika ya 22 baada ya beki wa Spirs Kyle Walker kujifunga mwenyewe
![]() |
| Mchezaji wa Mancherster Unitet Depay (katikati) akimpongeza Rooney baada ya kuongoza kwa 1-0 |
![]() |
| Walker akimuangalia kipa wa Spurs akishindwa kuia mpira ulioingia golini na kuipa Man U ushisdi wa 1-0 |
![]() |
Nyota mjerumani Bastian Schweinsteiger akibadilishana na Michael Carrick dakika ya 60 |
Ingawa Mancherster Imeibuka na ushindi huo kocha Van Gaal bado hakufurahia kiwango walichocheza
JE MANCHERSTER UNITED WANAWEZA KUCHUKUA UBIGWA? TOA MAONI YAKO...



0 comments: