Kyle Walker ajifunga akiipa Mancherster United ushindi mwembamba

code         No comments

Hakika ilikua ni meche ya kusisimua wakati mashetani wekundi wakijichukulia pointi tatu zao za kwanza dhidi ya Spurs kwa ushind wa 1-0


Mancherster United iliyokua nyumbani katika uwanja wa Old Traford ili lipata goli hilo mnamo dakika ya 22 baada ya beki wa Spirs Kyle Walker kujifunga mwenyewe
Mchezaji wa Mancherster Unitet Depay (katikati)  akimpongeza Rooney baada ya kuongoza kwa 1-0
Walker akimuangalia kipa wa Spurs akishindwa kuia mpira ulioingia golini na kuipa Man U ushisdi wa 1-0
Nyota mjerumani  Bastian Schweinsteiger akibadilishana na Michael Carrick dakika ya 60
Ingawa Mancherster Imeibuka na ushindi huo kocha Van Gaal bado hakufurahia kiwango walichocheza

JE MANCHERSTER UNITED WANAWEZA KUCHUKUA UBIGWA? TOA MAONI YAKO...

Published by code

Nulla sagittis convallis arcu. Sed sed nunc. Curabitur consequat. Quisque metus enim venenatis fermentum mollis. Duis vulputate elit in elit. Si vous n'avez pas eu la chance de prendre dans tous.
Follow us Google+.

0 comments:

© 2014 punguzo . Designed by Bloggertheme9
Powered by Blogger.