Ndikumana wa Uwoya kukipiga Stand United

code         No comments



Wakati kufungwa kwa dirisha la usajili kukipelekwa mbele, mchezaji wa kimataifa wa Burundi na aliyekua mume wa mcheza filamu maarufu wa Tanzania Irene Uwoya ameingia mkataba wa mwaka mmoja wa kuichezea timu ya Stand United ya mkoani Shinyanga.





Ndikumana alifahamika na wengi nchini baada ya kucheza klabu ya Simba na baadae kufunga ndoa na muingizaji huyo kutoka kiwanda cha Bongo Movie baada ya kuandikwa sana kwenye vyombo vya habari.

Sports Extra imepiga story na Ndikumana kuhusiana na maisha yake ya soka pamoja na mahusiano yake na mkewe ambaye hivi karibuni ameshinda kwenye kura za maoni kuwania nafasi ya ubunge mkoani tabora kwa tiketi ya viti maalum.

Published by code

Nulla sagittis convallis arcu. Sed sed nunc. Curabitur consequat. Quisque metus enim venenatis fermentum mollis. Duis vulputate elit in elit. Si vous n'avez pas eu la chance de prendre dans tous.
Follow us Google+.

0 comments:

© 2014 punguzo . Designed by Bloggertheme9
Powered by Blogger.