Lowassa Rasmi mgombea Uraisi kupitia CHADEMA

code         No comments



Chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimemtangaza Edward Lowassa kuwa ndie mgombea wake wa urais katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika nchini humo mwezi Oktoba mwaka huu.


 Lowassa, ambaye ni Waziri Mkuu aliyejiuzulu, amejiunga na Chadema wiki moja tu iliyopita akitoka chama tawala Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambako amekuwa mwanachama kwa zaidi ya miaka thelathini. Kwa uteuzi huo,
 Lowassa atapambana na mgombea urais wa CCM John Magufuli ambapo wote wanaelezwa kuwa na wafuasi wengi. Mwandishi wetu mjini Dar es Salaam ametuandalia taarifa hii

Published by code

Nulla sagittis convallis arcu. Sed sed nunc. Curabitur consequat. Quisque metus enim venenatis fermentum mollis. Duis vulputate elit in elit. Si vous n'avez pas eu la chance de prendre dans tous.
Follow us Google+.

0 comments:

© 2014 punguzo . Designed by Bloggertheme9
Powered by Blogger.