Lowassa: Ona Alivyo Kusanya Watu Arusha akiwa CMM na Dar es salaam Akiwa UKAWA Utashangaa!!!!

code         No comments

Hakika Uchaguzi wa mwaka huu utakua wa kipekee na wakihistoria. Leo tumeshuhudia kundi kubwa la watanzania wanao muunga mkono Lowassa wakimsindikiza mwanasiasa huyo mkongwe kwenda kuchukua fomu ya kuwania nafasi ya Uraisi katika ofisi za Tume ya Taifa ya Uchaguzi.

Hii sio mara ya Kwanza kwa waziri mkuu mstaafu huyo kufanya tukio la kihistoria kama hilo.
Alifanya Arusha  alipokua akitangaza nia yake ya kugombea nafasi ya Urais kupitia CMM.
Leo amerudia tena Dar es salaam

Tumekukusanyai picha mbali mbali zinazo onesha matukio hayo tofauti.
Zimeeanza za Arusha na mwishoni zipo za Dar es salaam akiwa UKAWA

ALIVYO KUSANYA WATU ARUSHA AKIWA CCM




ALIVYOKUSANYA WATU DAR ES SALAAM AKIWA UKAWA




Umeipenda Hii Habari? Usisite kushare na Kutoa Maoni Yako hapo chini


Published by code

Nulla sagittis convallis arcu. Sed sed nunc. Curabitur consequat. Quisque metus enim venenatis fermentum mollis. Duis vulputate elit in elit. Si vous n'avez pas eu la chance de prendre dans tous.
Follow us Google+.

0 comments:

© 2014 punguzo . Designed by Bloggertheme9
Powered by Blogger.