Show alianza vibaya msimu uliopita wakati kama huu baada ya kuondolewa na Van Gaal baada ya kuonekana kuongezeka uzito sana.
Lakini wakati huu mlinzi huyo mwenye miaka 20 amekua miongoni mwa wachezaji wa mancherster united ambao wanaonesha kiwango kikubwa katika mechi za maandalizi zinazoendelea Marekani.
Van Gaal : “Luke Shaw anakipaji, sio jambo ndogo kutoka Southampton na kujiunga na kablu kubwa kama Mancherster United.
Ingawa anafaida ya kua Muuingereza ukilinganisha na Memphis Depay ambaye ni mjerumani anakutana na tamaduni na mazingira tofauti ya mchezo
Hivyo naamini huu utakua ni msimu wake mzuri zaidi”
‘Namwamini na atambue hivyo na nategemea atatuonesha mambo makubwa’
Si kawaida kwa Van Gaal kumzungumzia mchezaji mmoja mmoja kama hivi. Kwa kawaida hupenda kuzungumzia timu kwa ujumla
0 comments: