Mh Edward Lowassa Akiwa Safarini kuelekea msibani leo. |
Kwa ajili ya sabau za kiusalama Polisi wamezuia baadhi ya magari na bodaboda yaliyokua yameambatana na lowassa na kuruhusu magari machache tu
Rais Jakaya Kikwete ambaye alikua karibu sana na mwanasiasa huyo mkongwe, ataongoza viongozi wengine wa serikali na kisiasa kutoa heshima ya mwisho kwa muasisi huyo wa TANU na baadae CCM.
0 comments: