Kikwete na Lowassa Uso kwa uso Moshi

code         No comments

Moshi. Sasa ni dhahiri kuwa mazishi ya mwanasiasa mkongwe nchini, Peter Kisumo yanayofanyika leo yatamkutanisha kwa mara ya kwanza, Rais Jakaya Kikwete na Edward Lowassa tangu waziri huyo mkuu wa zamani ajiondoe CCM na kujiunga na Chadema.

Kutoka kushoto ni Rais Jakaya Kikwete akiwa na aliyekuwa Waziri Mkuu Mstaafu Edward Lowassa.



Mh Edward Lowassa Akiwa Safarini kuelekea msibani leo.

Kwa ajili ya sabau za kiusalama Polisi wamezuia baadhi ya magari na bodaboda yaliyokua yameambatana na lowassa na kuruhusu magari machache tu

Rais Jakaya Kikwete ambaye alikua karibu sana na mwanasiasa huyo mkongwe, ataongoza viongozi wengine wa serikali na kisiasa kutoa heshima ya mwisho kwa muasisi huyo wa TANU na baadae CCM.




Published by code

Nulla sagittis convallis arcu. Sed sed nunc. Curabitur consequat. Quisque metus enim venenatis fermentum mollis. Duis vulputate elit in elit. Si vous n'avez pas eu la chance de prendre dans tous.
Follow us Google+.

0 comments:

© 2014 punguzo . Designed by Bloggertheme9
Powered by Blogger.