Hongera Kwa Mlioipata Hii Ofa Maalum kutoka Vodacom Tsh 200/= dk100 ,sms1000, MB100 kwa siku 7

code         No comments

Ushindakani katika makampuni ya mawasiliano umezidi kuongezeka kitu ambacho kimechangia kwa kiasi kikubwa kupungua kwa gharama za mawasiliono ukilinganisha na ilivyoku miaka ya nyuma


Kuna Special Offer kutoka Vodacom nilipata taarifa zake , ukitaka kujiunga na hii ofa

unapiga *149*68#

Nilivyo jaribu kwenye simu yangu sikufanikiwa nilipouliza nikaambiwa kua watu wanaoweza kujiunga na ofa hiyo ni wale tu walio pokea ujumbe mfupi(sms) wa ofa hiyo kutoka Vodacom..

Kama wewe ni miongoni ambao mmepata ofa hiyo Hongera.  Kazi ni Kwako


Published by code

Nulla sagittis convallis arcu. Sed sed nunc. Curabitur consequat. Quisque metus enim venenatis fermentum mollis. Duis vulputate elit in elit. Si vous n'avez pas eu la chance de prendre dans tous.
Follow us Google+.

0 comments:

© 2014 punguzo . Designed by Bloggertheme9
Powered by Blogger.