CCM Yatoa Majina ya Walioteuliwa Kuwania Ubunge Katika Majimbo yaliyokua Yamebakia

code         No comments

Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa Nape Nnauye akizungumza na waandishi wa habari kwenye ukumbi wa Sekretarieti,Makao Makuu ya CCM,Ofisi Ndogo Lumumba.



TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) taifa leo Agosti 17, 2015 katika kikao chake cha siku moja kilichofanyika katika Ofisi Ndogo za Makao Makuu ya CCM Lumumba jijini Dar es Salaa chini ya Mwenyekiti wa CCM Rais Dokta Jakaya Mrisho Kikwete imefanya uteuzi wa Wagombea Ubunge katika majimbo 11 nchini yaliyokuwa yamebakia.

Wagombea Ubunge walioteuliwa na majimbo yao kwenye mabano ni:-

Ndugu Jerry Slaa                                         -           (Ukonga) Dar es Salaam
Ndugu Edward Mwalongo                         -           (Njombe Kusini) Njombe
Ndugu Venance Mwamoto                                    -           (Kilolo) Iringa
Ndugu Raphael Chegeni                          -           (Busega) Simiyu
Ndugu Edwin Ngonyani                            -           (Namtumbo) Ruvuma
Ndugu Mohamed Mchengerwa                -           (Rufiji) Pwani
Ndugu Norman Sigara                               -           (Makete) Njombe
Ndugu Martin Msuha                                  -           (Mbinga Vijijini) Ruvuma
Ndugu Joel Makanyanga Mwaka             -           (Chilonwa) Dodoma

Imetolewa na:-


Nape Moses Nnauye,    

KATIBU WA HALMASHAURI KUU YA TAIFA,

ITIKADI NA UENEZI

17/08/2015




Published by code

Nulla sagittis convallis arcu. Sed sed nunc. Curabitur consequat. Quisque metus enim venenatis fermentum mollis. Duis vulputate elit in elit. Si vous n'avez pas eu la chance de prendre dans tous.
Follow us Google+.

0 comments:

© 2014 punguzo . Designed by Bloggertheme9
Powered by Blogger.